Sale!

NIFANYEJE ILI NIFANIKIWE?

Original price was: TZS 25,000.Current price is: TZS 9,900.

- +
Category:

 

“JE UNAJUA SIRI YA MAFANIKIO YA KIUCHUMI HAIANZI KWENYE MTAJI, BALI KWENYE AKILI YAKO?”

 

“Gundua msingi imara utakaokujenga na kukuimarisha kiuchumi, hata pale mambo yanapokuwa magumu. Anza safari yako ya utajiri wa kweli leo.”

 

Ed5444aa Ec6e 4770 Bf55 132071c02cd0

 

 

 

 

              “Mafanikio ni zaidi ya kumiliki gari au nyumba…”

 

Watu wengi hukimbilia fursa na mawazo ya biashara bila kuwa na msingi. Kitabu hiki kimeandaliwa kwa ajili yako kama unataka:

 

✅ Kujenga msingi imara wa kifikra kabla ya kuanza biashara.

 

✅ Kufanikiwa kiuchumi iwe kwa kufanya biashara au hata kama umeajiriwa unaweza kujikwamua kiuchumi kupitia maudhui ya kwenye kitabu hiki

 

✅ Kuwa na uwezo wa kusimama tena hata pale unapopitia changamoto

 

 

 

Utakachojifunza ( Kilichomo Ndani Ya Kitabu)

 

✅Mtazamo Chanya: Jinsi ya kubadili namna unavyowaza kuhusu fedha.

 

✅Uimara wa Kiuchumi: Mbinu za kubaki imara mambo yanapoyumba.

 

✅Tafsiri ya Malengo ya Kiuchumi: Jinsi ya kuweka na kutimiza malengo yako ya kiuchumi kwa vitendo.

 

 

picha ya mwandishi

Mwandishi Adelina Stambuli

 

KUHUSU MUANDISHI WA KITABU HIKI

 

“Adelina Stambuli, ni mwandishi na mdau wa maendeleo ya kiuchumi aliyejikita katika kusaidia watu binafsi na wafanyabiashara wadogo kubadili mifumo yao ya kifikra ili kupata matokeo chanya.

 

Kupitia uzoefu wake katika masuala ya biashara na mahusiano ya kiuchumi, Adelina anachambua misingi ya mafanikio kwa lugha rahisi inayoeleweka na kila mtu. Kitabu hiki ni matokeo ya utafiti na uzoefu wa vitendo unaolenga kuleta mapinduzi ya kifikra kwa yeyote anayetafuta uhuru wa kweli wa kiuchumi.”

 

“Ninaamini ndani yako kuna uwezo mkubwa, tuanze safari hii ya mabadiliko pamoja.”

 

 

 

 

 

 

 

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “NIFANYEJE ILI NIFANIKIWE?”

Your email address will not be published. Required fields are marked *